Exodus 10:7

7 aMaafisa wa Farao wakamwambia, “Mpaka lini huyu mtu atakuwa tanzi kwetu? Waachie hao watu waende zao, ili wapate kumwabudu Bwana Mwenyezi Mungu wao. Je, bado hutambui kuwa Misri imeangamia?”

Copyright information for SwhKC